#SheriaYaLeo (334/366); Mwendeshaji na farasi.

By | September 30, 2022
#SheriaYaLeo (334/366); Mwendeshaji na farasi. Uhusiano kati ya fikra na hisia zetu ni kama mwendesha farasi na farasi. Hisia zetu ni farasi na fikra zetu ni mwendesha farasi. Farasi ana nguvu kubwa, lakini bila ya kuongozwa vyema anaishia kuzunguka huku na huko na kutokuleta matokeo yoyote yenye tija. Hivyo ndivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz