2834; Mwache akuambie mwenyewe.

By | October 4, 2022
2834; Mwache akuambie mwenyewe. Huwa tunajikatalia mambo mengi sisi wenyewe kuliko tunavyokataliwa na wengine. Ninachoweza kusema kwa uhakika ni kwamba yale hapana za watu ambazo umekuwa unajipa wewe mwenyewe ni nyingi kuliko hapana unazosikia kweli kutoka kwa watu. Yaani majibu unayojipa kwamba watu watakataa kitu fulani kama utawaambia ni mengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz