2844; Shtuka ni mtego.

By | October 14, 2022
2844; Shtuka ni mtego. Huwa kuna kichekesho kinasema ukiona choo kwenye ndoto usikitumie, ni mtego huo. Huenda unakumbuka hili vizuri utotoni, unaota unacheza, unaufurahia mchezo, halafu mkojo unakubana, unaenda kukojoa, unashtuka umekojoa kitandani. Kwenye maisha kuna mitego mingi inayowanasa watu kwa kukosa umakini wa kujua ni mitego. Moja wapo ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz