#SheriaYaLeo (352/366); Kuona kitu kwa mara ya mwisho.

By | October 18, 2022
#SheriaYaLeo (352/366); Kuona kitu kwa mara ya mwisho. Kama binadamu tungekuwa tunaishi milele, maisha yangepoteza maana. Ni ufupi wa maisha ndiyo unatufanya tuyathamini na kufanya yale yenye tija. Lakini wakati mwingine huwa tunajisahau na kuzoea vitu, kwa kuona vipo muda wote. Ili kuondoka kwenye mazoea haya na kuvithamini vitu, tunapaswa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz