#SheriaYaLeo (357/366); Ujinga wa kiwango cha juu.

By | October 23, 2022
#SheriaYaLeo (357/366); Ujinga wa kiwango cha juu. Binadamu tunazaliwa, kuishi na kufa. Hivyo ndivyo maisha yamekuwepo tangu enzi na enzi na ndiyo imewezesha dunia kuendelea kuwepo. Viumbe wanaokufa wanatoa nafasi kwa wengine wanaozaliwa. Baadhi ya watu wanatafuta teknolojia ya kurefusha maisha au kuondoa kabisa kifo. Huu ni ujinga wa hali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz