2958; Abiria ambao hawaendi Arusha washuke.

By | February 5, 2023
2958; Abiria ambao hawaendi Arusha washuke.Rafiki yangu mpendwa,Pata picha wewe ni dereva wa basi ambalo linafanya safari zake kutoka Dar kwenda Arusha.Basi imepaki kwenye stendi kuu ya mabasi ya Dar na kupakia abiria.Basi inajaa kisha unaanza safari.Ile unatoka tu kwenye stendi na kuelekea kibaha, kundi la abiria wanaanza kupiga kelele

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz