2959; Kisima kitupu.

By | February 6, 2023
2959; Kisima kitupu.Rafiki yangu mpendwa,Kama una bomba la maji ambalo linatokea kwenye kisima, lakini halitoi maji, siyo kwamba maji hakuna kabisa, bali ni kisima ndiyo kitupu.Kama kisima kingekuwa na maji, ni dhahiri bomba lingetoa maji.Unaweza kulalamika hakuna wateja kwenye biashara yako, lakini huo siyo ukweli. Wateja wapo na wananunua, tatizo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz