3141; Kwa nini hufanyi?

By | August 7, 2023
3141; Kwa nini hufanyi?Rafiki yangu mpendwa,Unajua unachotaka kwenye maisha yako, wapi unapotaka kufika.Pia unajua nini unapaswa kufanya ili uweze kupata unachotaka.Lakini sasa, kwa nini hufanyi yale unayopaswa kufanya ili kupata unachotaka kupata?Na hata pale inapotokea unaanza kufanya, kwa nini huna mwendelezo?Kwa nini unaanza kufanya na kuishia njiani?Nini kinakukosesha msimamo kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz