Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

2563; Warahisishie.

By | January 6, 2022

2563; Warahisishie. Jukumu kubwa kabisa na ambalo kila mmoja wetu analo kwenye kazi au biashara anayofanya ni kuwarahisishia wale ambao anawalenga. Kwa wale ambao kazi au biashara yako inawalenga, wanachotafuta ni urahisi zaidi. Kuna matokeo ambayo wanayataka na wanataka kuyapata kwa urahisi. Inaweza kuwa urahisi kwenye bei, urahisi kwenye kutumia (more…)

#SheriaYaLeo (67/366); Iweke akili kwenye mwendo.

By | January 6, 2022

#SheriaYaLeo (67/366); Iweke akili kwenye mwendo. Tulipokuwa watoto, akili zetu hazikuwa zikisimama. Tulikuwa wazi kwa ajili ya mawazo ba uzoefu mpya. Tulijifunza kwa kasi kwa sababu dunia ilitushangaza. Pale tulipokwama, tulitafuta njia ya kibunifu ya kuvuka kinachotukwamisha. Akili yetu ilikuwa kwenye mwendo muda wote na mara zote tulijawa na shauku (more…)

2562; Kuna kitu hakipo sawa.

By | January 5, 2022

2562; Kuna kitu hakipo sawa. Kwa asili, mtoto akizaliwa anatakiwa aendelee kukua. Nguvu ya ukuaji tayari ipo ndani yake. Kama mtoto hakui vizuri, kuna kitu kinazuia au kuathiri ile nguvu iliyo ndani yake. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye kazi na biashara. Kadiri muda unavyokwenda, kile unachofanya kinapaswa kukua zaidi. Nguvu (more…)

#SheriaYaLeo (66/366); Zawadi ya akili yetu halisi.

By | January 5, 2022

#SheriaYaLeo (66/366); Zawadi ya akili yetu halisi. Wote tunamiliki nguvu kubwa ya ubunifu tuliyozaliwa nayo na inayotaka kujidhihirisha. Hiyo ni zawadi ya akili yetu halisi, ambayo ina uwezo mkubwa sana. Akili ya binadamu kwa asili ina ubunifu mkubwa ndani yake. Kila wakati ikitafuta njia za kujenga uhusiano na muunganiko baina (more…)

#SheriaYaLeo (65/366); Angalia kwa upana na fikiri mbele zaidi.

By | January 4, 2022

#SheriaYaLeo (65/366); Angalia kwa upana na fikiri mbele zaidi. Kwenye mazingira yoyote yenye ushindani, ambapo kuna washindi na washindwa, yule mwenye mtazamo mpana na anayefikiria kwa ukubwa zaidi ndiye anayeshinda. Na sababu ni rahisi, mtu huyo anakuwa na uwezo wa kufikiri zaidi ya pale alipo kwa wakati huo na kuweza (more…)

2560; Kwa nini wewe.

By | January 3, 2022

2560; Kwa nini wewe. Huwa ni rahisi kutumia kauli hii kulalamika pale mambo magumu yanapoonekana kukuandama wewe zaidi. Labda ni magumu na changamoto unazokuwa umekutana nazo mara kwa mara na kudhani una kisirani, mkosi au bahati mbaya. Tatizo ni kwamba, kila kitu kinachotokea unakihusisha zaidi na wewe, wakati vingi vimetokea (more…)

#SheriaYaLeo (64/366); Mchakato wa ubunifu.

By | January 3, 2022

#SheriaYaLeo (64/366); Mchakato wa ubunifu. Hakuna darasa la ubunifu, yaani ubunifu ni kitu ambacho huwezi kufundishwa na mtu yeyote yule. Ubunifu ni kitu ambacho unajijengea wewe mwenyewe kwenye kile unachokuwa unafanya. Kupitia wale waliobobea kwenye maeneo mbalimbali, tunajifunza hatua muhimu za kujijengea ubunifu kwenye kile unachofanya. Hatua ya kwanza ni (more…)

2559; Kuchimba shimo ili kujiandaa kutokuchimba shimo.

By | January 2, 2022

2559; Kuchimba shimo ili kujiandaa kutokuchimba shimo. Fikiria mtu ambaye tayari yupo kwenye shimo, ambaye anataka kuondoka kwenye shimo hilo, ila bado hajawa tayari kuondoka. Hivyo wakati anajiandaa kuondoka kwenye shimo hilo, anakuwa anaendelea kulichimba. Nadhani wewe mwenyewe umeona mkanganyiko uliopo hapo. Iweje mtu anayetaka kutoka kwenye shimo aendelee kulichimba (more…)

#SheriaYaLeo (63/366); Jijengee nidhamu ya kazi.

By | January 2, 2022

#SheriaYaLeo (63/366); Jijengee nidhamu ya kazi. Watu wote walioweza kubobea na kufanya makubwa kwenye maeneo waliyochagua siyo ambao walikuwa wanasukumwa na fedha au umaarufu. Bali ni wale ambao walikuwa wamejijengea nidhamu kubwa ya kazi kwenye eneo walilochagua. Walichagua kufanya kazi kwa ustadi wa hali ya juu na kujali sana kuhusu (more…)