2624; Kanuni ya heshima au imani.
2624; Kanuni ya heshima au imani. Watu wamekuwa wanalalamika kwamba hawaheshimiwi au hawaaminiwi. Lakini ukiangalia kwa uhalisia, tatizo huanzia kwa watu kutokujiheshimu au kujiamini wenyewe. Leo napendekeza kanuni rahisi ambayo ukiifuata utajijengea heshima kubwa na kuaminika na wengine. Kanuni hiyo inakwenda hivi; Heshima/imani = utekelezaji/ahadi Ili heshima au imani iwe (more…)
