2629; Hawataki ushauri wako.
2629; Hawataki ushauri wako. Nimewahi kuandika mara kadhaa kuhusu ushauri wa bure. Nikisisitiza usimpe mtu ushauri kama hajakuomba na usipokee ushauri kwa mtu kama hujamuomba akushauri. Pia nikaeleza jinsi ushauri wa bure ulivyo na gharama pale unapoufanyia kazi, kwa sababu unakuwa haujatolewa kulingana na uhitaji uliopo. Leo nakwenda kukupa sababu (more…)
