Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Njia Kumi Za Kusoma Soko.

By | March 17, 2014

Kama unataka kuanza biashara au unataka kukuza biashara yako ni vyema kupima soko unaloingia kabla ya kuingia. Hii itakupa mwanga wa kitu gani unakwenda kukutana nacho. Ni muhimu kufanya utafiti wa soko ili kujipanga jinsi utakavyoingia kwenye soko hilo. Kwa bidhaa ama huduma yoyote unayotoa au unayopanga kutoa pima soko (more…)

Mahitaji Matano Ya Msingi ya Kila Binadamu.

By | March 13, 2014

Ili kufanikiwa kwenye biashara, kazi na hata maisha kwa ujumla ni muhimu kujua tabia za asili za binadamu. Kuna vitu ambavyo watu wanavipenda sana kutoka ndani yao, kwa kujua vitu hivi ni rahisi kufanya nao kazi au biashara. Pia kuna vitu ambavyo watu hawavipendi, kwa kuvijua na kuviepuka itakusaidia kujenga (more…)

Misingi Mitano Muhimu Ya Biashara.

By | March 11, 2014

Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, biashara imekuwa ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia kuu ya kujipatia kipato. Pamoja na biashara kuonekana kuwa kimbilio la wengi sio wote wanaoingia kwenye biashara wanafanikiwa. Tafiti zinaonesha kwamba asilimia tisini ya biashara zinazoanzishwa (more…)