Category Archives: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

Acha Kutafuta Pesa Ambazo Hutazipata, Tafuta Hiki Kimoja Na Usahau Matatizo Yako Ya Pesa.

By | July 5, 2014

MAKALA HII NI NDEFU KIDOGO ILA NAKUSIHI SANA UISOME UTAJIFUNZA VINGI VITAKAVYOKUKOMBOA Pesa ni tatizo, Pesa ni ngumu, Pesa hazionekani na kadhalika haya ndio maneno yaliyojaa kwenye akili za watu wengi. Huenda na wewe umeshayasema maneno haya mara kadhaa au umekuwa wimbo mzuri kwako. Sasa leo nakwambia unafanya makosa makubwa (more…)

Jifunze Kiingereza, Itakusaidia Sana Kufikia Malengo Yako.

By | June 12, 2014

AMKA MTANZANIA imekuwa na utaratibu wa kuwatumia vitabu wasomaji ili kujifunza na kujihamasisha zaidi. Vitabu ambavyo huwa vinatumwa ni vitabu vilivyoandikwa kwa lugha ya kiingereza. Tokea kuanza kwa zoezi hili kuna watu wamekuwa wakiwasiliana na mimi kunieleza changamoto kubwa inayowazuia kusoma vitabu ninavyotuma. Changamoto hiyo ni lugha ya kiingereza. Hivi (more…)

Sababu Tano Kwa Nini Huwezi Kutajirika Kwa Kuajiriwa.

By | May 25, 2014

Zamani kidogo mafanikio kupitia ajira yalikuwa makubwa sana hasa kwa wale waliokuwa wamesoma. Uchumu ulikuwa mzuri, usalama wa kazi ulikuwa wa uhakika na maisha hayakuwa magumu sana. Mtu alikuwa na uhakika wa kukaa kwenye kazi, kupanda ngazi ya uongozi kazini kwa kupandishwa cheo na baadae kuwa afisa mkubwa sana kwenye (more…)

Mambo Kumi Muhimu Unayotakiwa Kujua Kabla Hujaacha Kazi Na Kwenda Kujiajiri.

By | April 30, 2014

Kutokana na ugumu wa ajira kwenye zama hizi watu wengi wanaona kujiajiri au kuwa mjasiriamali ndio njia mbadala ya kuyakomboa maisha yao. Hivyo kumekuwa na wimbi kubwa la watu kuondoka kwenye kazi na kwenda kujiajiri au kuanzisha biashara zao. Ni kitu kizuri sana kwa sababu angalau watu wanaweza kuwa na (more…)

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka CHUMA ULETE Kwenye Biashara Yako.

By | April 25, 2014

Pamoja na kwamba mambo yamebadilika sana hasa kwenye zama hizi za sayansi na teknolojia, kuna wafanyabiashara wengi sana ambao bado wameshikilia imani za kishirikina au uchawi katika biashara. Moja ya imani hizo ni kitu kinaitwa CHUMA ULETE. Kama hujui CHUMA ULETE, maana yake ni kwamba wewe unachuma halafu unampelekea mwenzako (more…)

Aina Tisa Za Thamani Ya Kiuchumi Kwenye Biashara.

By | April 16, 2014

Mteja anapotoa hela kwa ajili ya kununua biashara yako au kulipia huduma yako ina maana kwamba kuna thamani kubwa ya kiuchumi ameiona kwenye bidhaa hiyo ambayo inazidi umuhimu wa hela anayotoa. Hakuna mtu anayependa kupoteza fedha zake hasa pale ambapo zimepatikana kwa shida. Hivyo mpaka mteja achukue hatua ya kukupa (more…)

Kama Una Tabia Hizi 30 Tayari Wewe Ni Mjasiriamali, Chukua Hatua.

By | April 8, 2014

Kwa muda mrefu kumekuwa na mjadala mkubwa ikiwa mjasiriamali anazaliwa au anatengenezwa. Kwa kuangalia tabia za wajasiriamali na tabia za binadamu kwa ujumla, wajasiriamali wana tabia za kipekee. Wajasiriamali wanafikiri tofauti na wanatenda tofauti na watu wengine kwenye jamii. Tabia za kipekee zinazooneshwa na wajasiriamali kuna ambao wamezaliwa nazo na (more…)

Njia Kumi na Mbili za Kutengeneza Thamani Kwenye Biashara.

By | April 1, 2014

Kama tulivyoona kwenye makala zilizopita, ili kuweza kuanzisha na kukuza biashara ni muhimu sana kutengeneza thamani. Ni muhimu kutengeneza kitu ambacho watu wanakihitaji na wana uwezo wa kulipia bei unayouza ili kukipata kitu hicho. Katika kuanzisha biashara ubunifu mkubwa unahitajika ila huna haja ya kubuni kitu ambacho haipo kabisa kwenye (more…)

Siri Kubwa Kwenye Biashara na Maisha; Kila Kitu Kinakufa.

By | March 25, 2014

Kuna sheria moja muhimu ambayo inatawala kwenye maisha yetu binadamu. Sheria hii iko wazi ila ni wachache sana wanaojua umuhimu wake na kuitumia kufanikiwa. Ndio maana nimeiita siri muhimu kwenye maisha, kazi na hata biashara. Sheria hiyo ni kwamba kila kitu kinakufa. Huenda tayari unaijua sheria hii na unajiuliza kwa (more…)