Category Archives: FALSAFA MPYA YA MAISHA

Hapa unapata makala zinazokuwezesha wewe kujijengea falsafa mpya ya maisha yako. Ni kupitia falsafa yako ya maisha ndio unaweza kuwa na maisha bora yenye furaha na mafanikio.

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Mtu Pekee Unayeweza Kumpa Furaha Kwenye Maisha Ni Huyu Hapa.

By | February 21, 2016

Karibu mwanafalsafa mwenzangu kwenye siku hii nyingine ambapo tunakutana pamoja katika kujenga falsafa bora sana itakayoongoza maisha yetu. Kupitia falsafa hii mpya tunapata mwongozo wa maisha bora, yenye furaha na mafanikio makubwa sana. Leo katika falsafa tutachimba ndani kuhusu furaha ya kweli kwenye maisha. Kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana kwenye (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Umuhimu Wa Ukuaji Wa Kiroho.

By | February 14, 2016

Kama kuna eneo muhimu kwenye maisha yetu, ambalo limesahaulika sana ni ukuaji wa kiroho. Tunajali kuhusu afya zetu za mwili, na kujali kiasi kuhusu afya za akili, lakini tunasahau kuhusu afya ya kiroho. Kila mmoja wetu ana maisha yake ya kiroho, bila ya kujali dini aliyonayo, kabila analotokea au nafasi (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Tatizo La Mpende Jirani Yako Kama Unavyojipenda Mwenyewe, Na Njia Mpya Ya Upendo.

By | February 7, 2016

Moja ya falsafa nzuri na iliyodumu kwa miaka mingi kuhusu upendo ni mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. Hii ni falsafa nzuri sana kwa sababu wote tunajua dunia bila ya upendo haiwezi kwenda. Upendo ndio umeifikisha dunia hapa, na upendo ndio utaendelea kuifanya dunia iendelee kuwepo. Japokuwa kuna matukio (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Jukumu Muhimu Kwenye Maisha Yako Ambalo Huenda Bado Hujalifanya.

By | January 24, 2016

Tunazaliwa na kuingia kwenye jamii ambapo tunakuta taratibu mbalimbali. Tunakua tukiambiwa fanya hiki, usifanye kile na vingine vingi. Taratibu za kijamii zinatujengea mipaka mingi sana ambayo inaweza kuwa mizuri kwetu au ikawa kizuizi kwetu kuwa na yale maisha ambayo ni bora zaidi kwako. Katika kukua pia tukarithishwa imani ambazo familia (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Jinsi Ya Kujenga Na Kuishi Maisha Yenye Maana.

By | January 17, 2016

Habari za leo mwanafalsafa mwenzangu? Tumekutana tena hapa kwa ajili ya kushirikishana maarifa ambayo yatatuwezesha kujenga falsafa mpya ya maisha yetu. Na kupitia falsafa hii tuweze kuishi maisha bora, yenye furaha na mafanikio makubwa. Katika makala ya leo ya falsafa tutaangalia jinsi ya kuishi maisha yenye maana kubwa kwetu na (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Mchango Wa Falsafa Kwenye Ukuaji Wako Wa Kiroho.

By | January 10, 2016

Heri ya mwaka mpya mwana falsafa mwenzangu. Ni siku nyingi hatujakuwa pamoja hapa kwenye falsafa. Hii ni kwa sababu mwishoni mwa mwaka nilikuwa kwenye likizo ya wiki moja na wiki ya kwanza kabisa ya mwaka huu nilikuwa naandaa semina ya mwaka 2016 ambayo inaendelea kwa njia ya mtandao. Kama umepata (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Hitaji Muhimu La Kuwa Na Maisha Bora.

By | December 13, 2015

Kama kuna kitu kimoja ambacho kila mmoja wetu anakipigania, basi ni kuwa na maisha bora. Ndio tunahitaji sana kuwa na maisha bora, tunapenda kuona maisha yetu yana maana kwetu na kwa wengine pia. Na tunapenda kuona tuna mchango chanya kwa wengine kupitia maisha yetu. Pamoja na hitaji hili kubwa la (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Hakuna Kitu Kinachotokea Kwa Bahati Mbaya.

By | December 6, 2015

Habari mwanafalsafa mwenzangu? Ni imani yangu kwamba uko vizuri na kupitia falsafa yetu hii mpya ya maisha, kuna mengi sana umeshaweza kujiepusha nayo. Najua kuna mengi zamani ulikuwa ukifanya tu bila ya kutafakari kwa kina, ila kwa sasa, baada ya kuwa unajifunza kupitia falsafa mpya ya maisha, basi umeanza kutafakari (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Lipa Sasa Au Utalipa Baadae(Kwa Riba).

By | November 29, 2015

Karibu mwanafalsafa mwenzangu katika makala zetu hizi za falsafa mpya ya maisha. Kupitia kipengele hiki cha falsafa mpya ya maisha, tunatengeneza ukweli ambao tunaenda nao katika safari yetu ya kufikia mafanikio makubwa. Kama ilivyo kwa kila mmoja wetu, tunataka tuwe na maisha bora zaidi, tunataka tuwe na mchango mkubwa kwa (more…)

FALSAFA MPYA YA MAISHA; Nguvu Kubwa Inayokurudisha Nyuma Na Jinsi Ya Kuishinda.

By | November 22, 2015

Habari za leo mwanafalsafa? Karibu tena kwenye makala zetu hizi za falsafa mpya ya maisha ambapo tunapata maarifa sahihi ya kuishi maisha yetu kwa furaha na mafanikio. Kila mmoja wetu anastahili maisha bora, ya furaha kwake na mafanikio makubwa. Lakini wengi hawapati nafasi ya kuishi maisha hayo kutokana na kukosa (more…)