2210; Kila Mtu Anaishi Kwa Matumaini…
Wakati vifo vya ugonjwa wa Ukimwi vilipokuwa vinapamba moto, kipindi ambacho dawa za kupunguza makali ya virusi hivyo zilikuwa hazipatikani kwa urahisi na kwa wote wenye maambukizi, mtu aliyepata maambukizi aliitwa anaishi kwa matumaini. Ni kama vile mtu akishapata virusi hivyo basi ana tiketi ya uhakika ya kifo na hivyo (more…)
