2170; Unacholalamikia, Unakistahili…
Kitu chochote unachokilalamikia au kulaumu kwenye maisha yako, unakistahili kabisa. Na kadiri utakavyoendelea na malalamiko na lawama zako, utaendelea kuwa na kitu hicho. Hakuna namna mambo yataenda kama unavyopanga wewe, hivyo kulalamikia watu au hali fulani kuwa kikwazo kwako ni utoto. Na kama hujui hilo, basi unastahili kabisa kile (more…)
