2160; Anza Na Wewe, Kisha Soko, Kisha Biashara…
Kuna njia kuu mbili ambazo zimekuwa zinatumiwa na wengi kuingia kwenye biashara. Njia ya kwanza ni mtu anapata wazo fulani la biashara, anaona ni wazo jipya ambalo halijawahi kufanyiwa kazi, anasukumwa kuanza kulifanyia kazi. Changamoto kubwa ya njia hii ni mara nyingi mawazo mapya huwa hayana soko, unaweza kuwa na (more…)
