2130; Uimara Wa Madhaifu Yako…
Kila mtu ana madhaifu yake, lakini siyo wote ambao wanayajua madhaifu waliyonayo, kwa sababu wengi hawajapata nafasi ya kujitambua vizuri wao wenyewe. Kwa wale wanaoyajua madhaifu yao hilo limekuwa haliwasaidii, kwa sababu huchukua hatua moja kati ya hizi; Hujaribu kuyaficha madhaifu hayo kwa sababu hawataki yaonekane na wengine na kutumiwa (more…)
