2140; Siyo Kwa Mapenzi Yako…
Mwandishi mmoja amewahi kusema kadiri mtu unavyolazimisha kwamba maamuzi yako hayaathiriwi na hisia ndivyo maamuzi hayo yanavyokuwa na hisia. Wote tunajua kwamba sisi binadamu ni viumbe wa kihisia, maamuzi mengi tunayofanya ni kwa hisia kwanza na baadaye tunayahalalisha kwa kufikiri. Lakini tunapenda kujiaminisha kwamba tunafanya maamuzi yetu kwa kufikiri, kitu (more…)
