2110; Msimamo Na Ung’ang’anizi Kwenye Kuchukua Hatua…
Kuwa na nidhamu kubwa ya msimamo na ung’ang’anizi kwenye kuchukua hatua ndiyo kinachowatofautisha wale wanaofanikiwa sana na wanaobaki kuwa kawaida. Chukua mfano wa watu wawili, mmoja ana wazo la kawaida tu, labda ufugaji au biashara au kilimo, anaamua kuchukua wazo hilo kwa miaka kumi bila kuacha. Mwingine kwa miaka hiyo (more…)
