2580; Ngoma Droo.
2580; Ngoma Droo. Kwenye wimbo wake wa Bongo Dar es Salaam, msanii Profesa Jay aliimba mashairi haya; “Aliyeuziwa cheni katoa hela bandia, Aliyepokea hela nae kauza cheni ya bandia. Tuliozoea jiji tunasema ngoma droo.” Kuna ngoma droo nimekuwa naiona kwenye upande wa safari ya mafanikio, ambayo kama mtu hutaweza kuivunja (more…)
