#SheriaYaLeo (103/366); Watumie Maadui Zako.
#SheriaYaLeo (103/366); Watumie Maadui Zako. Haijalishi unafanya nini, kuna watu ambao hawatakubaliana na wewe. Watakuona ni mbaya, hufai na watatangaza uadui na wewe. Kwa hali ya kawaida ya kibinadamu na wewe utasukumwa kutangaza nao uadui. Ila jua kufanya hivyo hakuna manufaa kwako au kwao. Mtasumbuana bila ya kuwa na manufaa (more…)
