ONGEA NA KOCHA; Nguvu Ya Fikra, The Prophet, Sebastian Kalugulu.

By | November 8, 2021

Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo unakwenda kujifunza mambo matatu makubwa. Moja ni Nguvu ya fikra kwenye safari ya mafanikio. Hapa utajifunza jinsi fikra zako zilivyo na nguvu ya kuumba na jinsi ya kujenga fikra sahihi na kuzilinda. Mbili ni uchambizi wa kitabu cha The Prophet ambapo utajifunza (more…)

2504; Jenga Mahusiano Zaidi.

By | November 8, 2021

2504; Jenga Mahusiano Zaidi. Huwa kuna kauli kwamba haijalishi unajua nini, bali unamjua nani. Sehemu kubwa ya mafanikio yako inatokana na wale unaowajua kuliko yale unayoyajua. Hii ni kusema kwamba mahusiano yako na watu sahihi ni muhimu sana kwenye mafanikio yako. Kwa sababu kama unavyojua, kila unachokihitaji tayari kipo kwa (more…)

#SheriaYaLeo (8/366); Kubali Na Ishi Utofauti

By | November 8, 2021

#SheriaYaLeo (8/366); Kubali Na Ishi Utofauti Wako. Kila mtu ana utofauti fulani ambao upo ndani yake. Kuna namna ya ufanyaji wa mambo ambayo ni ya tofauti kabisa. Na pia kuna vitu vya tofauti kabisa vinavyomvutia mtu tofauti na wengine. Kwa walio wengi huwa wanapuuza utofauti wao na kuchagua kufanya yale (more…)

2503; Kukusanya Na Kutawanya.

By | November 7, 2021

2503; Kukusanya Na Kutawanya. Mwanga wa jua ukitawanywa unatoa tu mwangaza wa kawaida. Lakini mwanga huo huo ukikusanywa eneo moja, unatoa moto mkali wenye kuweza kuunguza chochote. Nguvu na umakini wako ukivitawanya unaishia kupata matokeo ya kawaida. Lakini ukikusanya vitu hivyo viwili kwenye maeneo machache, unazalisha matokeo makubwa sana. Kama (more…)

#SheriaYaLeo (7/365); Pesa Na Mafanikio.

By | November 7, 2021

#SheriaYaLeo (7/365); Pesa Na Mafanikio. Kwa walio wengi, hitaji la kupata pesa na mafanikio linaweza kuwa motisha mkubwa kwao kuwasukuma kufanya makubwa. Kwa watu wa aina hii huona hakuna haja ya kuhangaika kulijua kusudi la maisha yao. Huona huko ni kupoteza muda na hivyo huachana na hilo na kuhangaika na (more…)

2502; Hiyo Pesa Itafute Hapo Ulipo Kwanza.

By | November 6, 2021

2502; Hiyo Pesa Itafute Hapo Ulipo Kwanza. Fursa mpya zimekuwa haziishi na zinashawishi kweli kweli. Maana ni vigumu sana kuikataa pesa wakati una uhitaji mkubwa wa fedha. Hivyo zinapokuja fursa mpya, ambazo tunakua kabisa kwamba haziendani na kile tunachofanya, tukishaona kuna fedha tunaweza kupata, basi tunakimbilia kuifanya. Mwisho wake kinachotokea (more…)

#SheriaYaLeo (6/366); Mabadiliko Ni Sheria.

By | November 6, 2021

#SheriaYaLeo (6/366); Mabadiliko Ni Sheria. Mabadiliko ni sheria ya maisha. Hakuna kitu chochote kinachobaki kilivyo, kila kitu kinabadilika. Katika kukabiliana na mabadiliko kwenye kazi na biashara zako, endana na mabadiliko badala ya kuyapinga. Tambua kwamba hujafungiwa kwenye kufanya kitu cha aina fulani pekee. Uaminifu wako siyo kwenye kazi, biashara au (more…)

2501; Kama nafsi inakataa, isikilize.

By | November 5, 2021

2501; Kama nafsi inakataa, isikilize. Kuna wakati unaweza kuwa na fursa fulani mbele yako, fursa ambayo inaonekana ni nzuri kabisa, lakini nafsi yako inakataa kabisa kuikubali fursa hiyo. Mara nyingi hili hutokes pale unapohitaji kujihusisha na watu fulani. Labda ni kwenye kazi au biashara. Kwa nje wanaonekana ni watu wazuri (more…)

#SheriaYaLeo (5/366); Jua kinachokuvutia na zama

By | November 5, 2021

#SheriaYaLeo (5/366); Jua kinachokuvutia na zama ndani. Kama umefanyia kazi sheria 4 zilizopita, utakuwa umeshajua ni kitu au vitu gani unavyovutiwa sana kuvifanya. Vitu vinavyotokana na sauti yako ya ndani, ambavyo huchoki kuvifanya na upo tayari kuvifanya bila kujali wengine wanasema au kufanua nini. Hivyo ndiyo vitu ambavyo vinatoka ndani (more…)

2500; Wewe Ndiye Mfano.

By | November 4, 2021

2500; Wewe Ndiye Mfano. Kama kuna watu wako chini yako na wanafanya vitu ambavyo huridhiki navyo, kuna mtu mmoja tu wa kumlaumu, wewe mwenyewe. Ni rahisi kuwaona watu wanakuwa mzigo na kukukwamisha. Lakini ukweli ni wao wanaiga mfano wako. Wale walio chini yako, wanaangalia zaidi kile unachofanya kuliko unachosema. Wataiga (more…)