Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa shule ya sekondari.
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa shule ya sekondari. Elimu ni hitaji la msingi kabisa la watu. Licha ya serikali kutoa elimu bure, bado ubora wa shule za serikali haujawa mzuri, hasa upatikanaji wa walimu na vitendea kazi mbalimbali. Hii inatoa fursa kwa wanaoweza kutoa elimu bora ya sekondari kuweza (more…)