#TAFAKARI YA LEO; KODI YA KUISHI HAPA DUNIANI…
“Service to others is the rent you pay for your room here on earth.” – Muhammad Ali Dunia siyo makazi yetu ya kudumu, ni sehemu ambayo tumepanga kwa muda tu. Kama tunavyojua, kila unapokuwa umepanga eneo unapaswa kulipa kodi ya pango. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwa maisha yetu hapa duniani, (more…)