Tag Archives: KUHAMASISHA WAFANYAKAZI

BIASHARA LEO; Umuhimu Wa Mafunzo kwa wafanyakazi wako na jinsi ya kuyapata.

By | June 8, 2015

Wafanyakazi wako ni watu muhimu sana kwenye biashara yako. Hawa ni watu ambao wataiwezesha biashara yako kufanikiwa au kushindwa. Wafanyabiashara wengi wamekuwa hawalipi uzito eneo la wafanyakazi. Wengi wamekuwa wakiajiri wafanyakazi kwa sababu tu ni rahisi kuwalipa na hawatawasumbua, hivyo wafanyakazi hawa wanakuwa hawana ujuzi wowote wa biashara. Kwa kufanya (more…)

Hivi ndivyo unavyoweza kuwahamasisha wafanyakazi wako ili wawe na uzalishaji mkubwa.

By | April 20, 2015

Katika makala mbili zilizopita tumekuwa tunajadili kuhusu mteja muhimu na wa kwanza kwenye biashara yako. Tuliona mteja huyu ni mfanyakazi au wafanyakazi wako uliowaajiri kwenye biashara yako. Hawa ni watu ambao wanatakiwa kuwa washabiki wa kwanza kabisa wa kile amabcho unafanya. Wanatakiwa kuwa wanakipenda na wapo tayari kuwashawishi wengine wajihusishe (more…)