Tag Archives: UONGOZI

Njia Moja Muhimu Ya Kuwa Kiongozi Bora.

By | October 12, 2014

Ni muhimu sana wewe kuwa kiongozi na ni muhimu zaidi kuwa kiongozi bora. Tunaposema ni muhimu wewe kuwa kiongozi haimaanishi kuwa kiongozi wa kisiasa au kiserikali bali ni uwe kiongozi kwenye jambo lolote unalofanya. Iwe umeajiriwa kwenye kitengo fulani, fanya kazi yako kama kiongozi. Iwe umejiajiri au unafanya biashara, fanya (more…)

Hili Ndilo Kosa Kubwa Tunalokwenda Kufanya Watanzania 2015.

By | September 14, 2014

Mwaka 2015 ambao ulikuwa ukisubiriwa kwa hamu sana na watanzania wengi umekaribia kabisa kufika. Huu ni mwaka ambao uchaguzi mkuu wa nchi yetu utakwenda kufanyika na hivyo wananchi kupata nafasi ya kuchagua diwani, mbunge na raisi ambaye tunaona anatufaa. Mwaka 2015 umekuwa ukisubiriwa kwa muda mrefu kwa sababu wananchi wengi (more…)

Hili Ndilo Kosa Kubwa Tunalokwenda Kufanya Watanzania 2015.

By | September 14, 2014

Mwaka 2015 ambao ulikuwa ukisubiriwa kwa hamu sana na watanzania wengi umekaribia kabisa kufika. Huu ni mwaka ambao uchaguzi mkuu wa nchi yetu utakwenda kufanyika na hivyo wananchi kupata nafasi ya kuchagua diwani, mbunge na raisi ambaye tunaona anatufaa. Mwaka 2015 umekuwa ukisubiriwa kwa muda mrefu kwa sababu wananchi wengi (more…)

Je Vijana Wanaoingia Kwenye Siasa Wanaweza Kuwa Wakombozi Wetu?

By | September 7, 2014

Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hapa Tanzania ambao wanaingia kwenye siasa. Na kwanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambapo baadhi ya vijana waliogombea ubunge walipata kuchaguliwa kumekuwa na mwamko mkubwa sana wa vijana kuingia kwenye siasa. Na hata kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015 vijana wengi wameonesha nia (more…)

Je Vijana Wanaoingia Kwenye Siasa Wanaweza Kuwa Wakombozi Wetu?

By | September 7, 2014

Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana hapa Tanzania ambao wanaingia kwenye siasa. Na kwanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambapo baadhi ya vijana waliogombea ubunge walipata kuchaguliwa kumekuwa na mwamko mkubwa sana wa vijana kuingia kwenye siasa. Na hata kwenye uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015 vijana wengi wameonesha nia (more…)

Sababu Mbili Kwa Nini Tanzania Ni Nchi Masikini.

By | August 31, 2014

Kwa nini Tanzania ni nchi masikini? Pamoja na rasilimali nyingi tulizonazo, mlima mrefu, mbuga za wanyama, madini na hata ardhi kubwa kwa nini tunaendelea kuwa masikini? Hili ni swali gumu sana maana hata raisi wa nchi mheshimiwa Jakaya Kikwete alikiri kwamba hajui kwa nini nchi yetu ni masikini. Sasa leo (more…)

Sababu Mbili Kwa Nini Tanzania Ni Nchi Masikini.

By | August 31, 2014

Kwa nini Tanzania ni nchi masikini? Pamoja na rasilimali nyingi tulizonazo, mlima mrefu, mbuga za wanyama, madini na hata ardhi kubwa kwa nini tunaendelea kuwa masikini?Hili ni swali gumu sana maana hata raisi wa nchi mheshimiwa Jakaya Kikwete alikiri kwamba hajui kwa nini nchi yetu ni masikini. Sasa leo nataka (more…)

Uongozi Ni Watu, Na Sio Vinginevyo.

By | July 27, 2014

Kama nikikuuliza swali ni nani muhimu kati ya kiongozi na mwananchi anayeongozwa? Kwa hali ya kawaida na mazoea tuliyonayo sisi, unaweza kufikiri kiongozi ni bora zaidi ya mwananchi. Lakini huu sio ukweli hata kidogo. Sio ukweli kwa sababu bila ya mwananchi anayeongozwa hakuna kiongozi, kiongozi ni mwakilishi wa wale waliompa (more…)

Uongozi Ni Watu, Na Sio Vinginevyo.

By | July 27, 2014

Kama nikikuuliza swali ni nani muhimu kati ya kiongozi na mwananchi anayeongozwa? Kwa hali ya kawaida na mazoea tuliyonayo sisi, unaweza kufikiri kiongozi ni bora zaidi ya mwananchi. Lakini huu sio ukweli hata kidogo. Sio ukweli kwa sababu bila ya mwananchi anayeongozwa hakuna kiongozi, kiongozi ni mwakilishi wa wale waliompa (more…)

Dalili Kumi Kwamba Tayari Wewe Ni Kiongozi.

By | April 20, 2014

Kwenye makala zilizopita tumeona ni muhimu sana kwa kila mmoja wetu kuwa kiongozi. Pamoja na umuhimu huo sio watu wote ni viongozi na sio watu wote wataweza kuwa viongozi. Na hata ambao ni viongozi sio wote ni viongozi bora wanaotoa matokeo mazuri. Pia tumejifunza kwamba kiongozi anaweza kuzaliwa au kutengenezwa. (more…)