UKURASA WA 493; Sifa Kuu Ya Uongozi Unayotakiwa Kuwa Nayo…

By | May 9, 2016
Tofauti ya uongozi na usimamizi ni kwamba kwenye uongozi watu wanachagua kukufuata, wanachagua kufanya kile ambacho unawashawishi wafanye. Kwenye usimamizi ni watu wanalazimika kukufuata, hawana namna ila lazima wafanye kile unachowataka wafanye. Bila ya shaka uongozi unakufikisha mbali kuliko usimamizi. Maana watu wanapochagua wao wenyewe wanajitoa kuliko unapowalazimisha. Sasa kuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In

Prove your humanity


   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz