Jinsi Ya Kumjua Mpumbavu Na Kumwepuka Ili Kupunguza Matatizo Kwenye Maisha Yako.

By | June 7, 2017
Kitu pekee ambacho unaweza kukipata kwa mpumbavu ni matatizo, hakuna la ziada. Maana mpumbavu hufurahia kuleta matatizo kwake mwenyewe na kwa wengine pia. Hivyo ni muhimu sana uweze kumjua mpumbavu na kumwepuka kabisa, na kama kwa bahati mbaya ukamjua wakati umeshaingia ‘anga zake’, basi uweze kujitoa haraka. Kwenye maisha yetu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz