Kitu Kimoja Cha Kufanya Kila Siku Ili Ufikie Malengo Yako 2015…

By | February 1, 2015
Mpaka sasa umeshajifunza mbinu nyingi sana za kukuwezesha kufikia malengo uliyojiwekea kwa mwaka huu 2015. Kama una malengo na mipango tayari ni muhimu sana kutumia yale unayojifunza ili uweze kufikia malengo yako. Mpaka kufikia leo kuna watu ambao tayari wameshasahau malengo waliyokuwa wamejiwekea kwa mwaka huu 2015. Hii inatokana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KUTOKA KWA KOCHA Tags:

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz