UKURASA WA 240; Sababu Nzuri Na Sababu Halisi.

By | August 28, 2015
Mtu yeyote anapofanya au anaposhindwa kufanya jambo, anakuwa na sababu mbili. Sababu ya kwanza ni sababu nzuri ya kwa nini amefanya au ameshindwa kufanya. Hii ni sababu nzuri kwa maana kwamba ndio atakayotumia kuwaambia wengine kuhusu kile alichofanya au alichoshindwa kufanya. Sababu ya pili ni sababu halisi. Hii ndio ile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz