UKURASA WA 280; Huwezi Kudhibiti Chochote…

By | October 7, 2015
Kila mmoja wetu anapenda kudhibiti vitu. Kuwa na uhakika wa kile anachofanya au anachotarajia kufanya. Kila mmoja angependa kujua na kuwa na uhakika kwamba kinachotokea ni kama alivyopanga au alivyotegemea. Lakini pamoja na kutaka huku kudhibiti, ukweli ni kwamba hatuwezi kudhibiti chochote kilicho nje yetu. Hatuna nguvu hiyo, licha ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz