UKURASA WA 304; Unayaweka Wapi Mawazo Yako Kati Ya Sehemu Hizi Mbili?

By | October 31, 2015
Unapofanya jambo lolote la kukufikisha kwenye mafanikio makubwa, maana yake hili ni jambo kubwa na ambalo huenda hujawahi kufanya, mawazo yako yanaweza kuwa sehemu moja kati ya hizi mbili. Sehemu ya kwanza ni kufikiria yale matokeo unayotaka kuyapata, kufikiria kile kitakachotokea baada ya wewe kukamilisha hilo. Hapa unaiona picha ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz