UKURASA WA 418; Maandalizi Na Kufanya.

By | February 22, 2016
Kuna wakati tunasahau ni kipi muhimu sana kwenye kufikia malengo yetu na mafanikio pia. Tunaweka juhudi zetu kwenye mambo ambayo yanaweza kuonekana ni muhimu lakini kwa uhalisia sio muhimu. Kwa mfamo, tunapoweka malengo na mipango, kuna maandalizi na kufanyia kazi malengo na mipango hiyo. Lakini watu wengi wamekuwa wakiweka muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz