BIASHARA LEO; Ipe Biashara Muda, Usikimbilie Hatua Kubwa Haraka…

By | July 22, 2017
Kwa muda wote ambao nimekuwa najifunza biashara, kupitia mafunzo mbalimbali na hata kufanya biashara, nimekuwa nafananisha biashara na kitu kimoja muhimu; maisha ya mwanadamu. Nashawishika, bila ya shaka yoyote kwamba biashara ina sifa kama ya mwanadamu, kabisa. Biashara zinazaliwa, biashara zinakua, na biashara zinakufa, kama ilivyo kwa binadamu. Ili biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz