#SheriaYaLeo (95/366); Jua wakati wa kutoa na kupokea sifa.
#SheriaYaLeo (95/366); Jua wakati wa kutoa na kupokea sifa. Huwa tunapenda kupewa sifa kwa kile ambacho tumewezesha kifanyike au kikamilike. Ni kawaida kwetu binadamu kupenda kusifiwa, kwani huwa tunaona tumethaminiwa zaidi. Kama ambavyo tunajisikia vizuri tukisifiwa, ndivyo pia wengine wanajisikia vizuri wanaposifiwa. Na hapa ndipo unapaswa kujua wakati gani wa (more…)
