Barua ya XVI; Falsafa kama mwongozo wa maisha.
Barua ya XVI; Falsafa kama mwongozo wa maisha. Rafiki yangu Mstoa,Watu wengi wanaposikia kuhusu falsafa, huwa wanafikiria watu wenye akili na uelewa mkubwa wa mambo ambao wanabishana maswali magumu ya maisha kama nini maana ya maisha, nini kinatokea baada ya kifo n.k. Kwa baadhi ya falsafa ndivyo mambo yalivyo. Lakini (more…)
