Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

Barua ya XVI; Falsafa kama mwongozo wa maisha.

By | August 18, 2023

Barua ya XVI; Falsafa kama mwongozo wa maisha. Rafiki yangu Mstoa,Watu wengi wanaposikia kuhusu falsafa, huwa wanafikiria watu wenye akili na uelewa mkubwa wa mambo ambao wanabishana maswali magumu ya maisha kama nini maana ya maisha, nini kinatokea baada ya kifo n.k. Kwa baadhi ya falsafa ndivyo mambo yalivyo. Lakini (more…)

3152; Umajinuni na ulazima.

By | August 18, 2023

3152; Umajinuni na ulazima. Rafiki yangu mpendwa,Wakati nipo shule ya udaktari, kwenye kitengo cha magonjwa ya akili tulijifunza magonjwa mengi na sifa zake.Tulikuwa na tabia ya kutaniana ukiambiwa lazima upate ugonjwa mmoja wa akili mtu utachagua upo? Magonjwa ya akili yapo mengi kitabibu. Lakini kimazoea watu mpaka waone mtu anaokota (more…)

3151; Tayari tumeshashinda.

By | August 17, 2023

3151; Tayari tumeshashinda. Rafiki yangu mpendwa,Kwenye mchezo wa aina yoyote ile, kushinda au kushindwa huwa kunaanzia nje ya uwanja.Yaani timu inaingia uwanjani ikiwa tayari ina matokeo.Kinachokwenda kufanyika uwanjani ni kukamilisha tu mchezo kama ulivyopangwa.Hiyo haimaanishi kwamba wamependelewa kupewa ushindi, bali inamaanisha hawapo tayari kupokea kingine isipokuwa ushindi. Lakini pia kuna (more…)

3150; Tatu ndani ya moja.

By | August 16, 2023

3150; Tatu ndani ya moja. Rafiki yangu mpendwa,Unaweza kudhani tayari unajua kila kitu kuhusu matumizi bora ya muda wako kwenye kupata uzalishaji na ufanisi mkubwa.Lakini hivyo sivyo ilivyo.Bado kuna mengi hujayajua kwenye matumizi bora ya muda.Na kupata uzalishaji na ufanisi mkubwa kwenye muda ni kitendawili kikubwa kwa watu wengi. Mwanafalsafa (more…)

3148; Mchezo wenye ushindi wa uhakika kwako.

By | August 14, 2023

3148; Mchezo wenye ushindi wa uhakika kwako. Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi sana wamekuwa mashabiki na wafuatiliaji wa michezo.Pale timu wanazozishabikia zinapocheza, wanakuwa tayari kuacha kila kitu ili wasikose mchezo huo. Kinachowafanya watu kushabikia sana michezo ni kupenda ushindi.Kila mtu anapenda kupata ushindi kwenye maisha yake.Lakini kupata ushindi kwa mtu binafsi (more…)

3147; Tumia sababu zote za kushindwa.

By | August 13, 2023

3147; Tumia sababu zote za kushindwa. Rafiki yangu mpendwa,Wote tunakumbuka wakati tupo shuleni.Tulijua kuna mitihani ambayo inakuja.Pale tulipojiandaa vyema na mitihani hiyo na ikatokea tukafanya vibaya, huwa hatuumii sana, kwa sababu tunajua tumefanya kila kitu.Lakini pale ambapo hatukujiandaa vyema na ikatokea tumefanya vibaya, huwa tunaumia sana.Tunajiambia kama tungejiandaa vyema, huenda (more…)

3146; Hujifunzi, una ahirisha.

By | August 12, 2023

3146; Hujifunzi, una ahirisha. Rafiki yangu mpendwa,Tunaishi kwenye zama za maarifa na taarifa.Hizi ni zama ambazo maarifa na taarifa zinapatikana kwa wingi na urahisi sana.Kila mtu anaweza kujifunza chochote kile anachotaka bure kabisa au kwa gharama ndogo sana. Tungetegemea kwenye zama kama hizi watu wajifunze kwa wingi sana na waweze (more…)

3146; Hujifunzi, una ahirisha.

By | August 12, 2023

3146; Hujifunzi, una ahirisha. Rafiki yangu mpendwa,Tunaishi kwenye zama za maarifa na taarifa.Hizi ni zama ambazo maarifa na taarifa zinapatikana kwa wingi na urahisi sana.Kila mtu anaweza kujifunza chochote kile anachotaka bure kabisa au kwa gharama ndogo sana. Tungetegemea kwenye zama kama hizi watu wajifunze kwa wingi sana na waweze (more…)

Barua ya XV; Kujenga afya ya akili na roho.

By | August 11, 2023

Barua ya XV; Kujenga afya ya akili na roho. Rafiki yangu Mstoa, Sisi binadamu tuna mwili, akili, roho na hisia. Lakini inapokuja kwenye kujenga afya zetu, huwa tunahangaika zaidi na afya ya mwili na kusahau hizo afya nyingine.Angalia gharama ambazo watu huwa wanaingia kwenye kujenga afya ya mwili, kuanzia ulaji, (more…)