Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

3136; Ukatili wa asili.

By | August 2, 2023

3136; Ukatili wa asili. Rafiki yangu mpendwa,Asili huwa inafanya maamuzi yake kwa namna yake yenyewe.Maamuzi yanayofanywa na asili huwa hayaangalii matakwa ya watu. Kama asili ingekuwa ni mtu kwenye hayo maeneo yote yanayofanyiwa maamuzi, angeonekana kuwa mtu mwenye roho mbaya sana na asiyejali.Hiyo ni kwa sababu watu watakuwa na maelezo (more…)

3135; Utamchagua nani?

By | August 1, 2023

3135; Utamchagua nani? Rafiki yangu mpendwa,Safari yetu ya mafanikio makubwa tunayoyataka inawategemea sana watu.Hakuna namna tunaweza kufikia mafanikio makubwa kabisa sisi peke yetu. Kadiri lengo letu la mafanikio linavyokuwa kubwa, ndivyo pia idadi ya watu tunaowahitaji inavyokuwa kubwa zaidi.Hivyo sehemu kubwa sana ya maamuzi utakayokuwa unayafanya kila siku ni kuhusu (more…)

3134; Maswali mawili yatakayokuwezesha kuuza zaidi.

By | July 31, 2023

3134; Maswali mawili yatakayokuwezesha kuuza zaidi. Rafiki yangu mpendwa,Leo napenda nikupe taarifa ambazo zitakushtua kidogo.Taarifa hizo zitakushtua kwa sababu ni tofauti kabisa na matarajio uliyonayo. Kwenye biashara yako una wateja ambao tayari wananunua kwako mara kwa mara.Lakini je unajua ni kwa kiasi gani wateja hao wanajua vitu vyote unavyoweza kuwauzia? (more…)

3133; Watu ambao hutaki kuwabadilisha.

By | July 30, 2023

3133; Watu ambao hutaki kuwabadilisha. Rafiki yangu mpendwa,Ndiyo maisha ni magumu, lakini huwa tunazidisha ugumu wake kwa kutaka vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu kuvidhibiti.Tunajihakikishia tutaweza kukamilisha vitu hivyo.Pale tunapojaribu kuvikamilisha na tukashindwa, tunapata sana msongo na kuona maisha ni magumu zaidi. Moja ya eneo ambalo tumekuwa tunazidisha ugumu (more…)

3132; Viwango vimeshushwa sana.

By | July 29, 2023

3132; Viwango vimeshushwa sana. Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi huwa wana tabia ya kulalamikia mfumo wa elimu kwamba viwango vya ufaulu vimeshushwa sana.Kwa ufaulu mkubwa ambao watoto wa siku hizi wanakuwa nao, mtu yeyote aliyesoma zamani anaona kama angesoma zama hizi, basi na yeye angepata ufaulu mkubwa sana.Na hapo mtu hajaweka (more…)

Barua ya XIII; Kuhusu hofu zisizo za msingi.

By | July 28, 2023

Barua ya XIII; Kuhusu hofu zisizo za msingi. Rafiki yangu Mstoa, Sisi kama binadamu huwa tuna malengo na mipango mbalimbali kwenye maisha yetu.Kuna namna ambavyo huwa tunataka maisha yetu yawe.Lakini pamoja na malengo na mipango hiyo, bado kwa sehemu kubwa maisha ya wengi yamekuwa yakiishia kuwa ya kawaida.Wengi wanashindwa kuchukua (more…)

3131; Subiri.

By | July 28, 2023

3131; Subiri. Rafiki yangu mpendwa,Kadiri ninavyojifunza, kufuatilia na kuishi maisha ya kujenga mafanikio makubwa, ndivyo ninavyozidi kuona jinsi ambavyo kushindwa kwa walio wengi kunatokana na kukosa subira. Kabla sijaendelea kutetea hilo na kukushawishi uwe na subira zaidi, tuangalie mfano wa asili kabisa kwenye hilo. Ili mti uote, unahitaji vitu vinne; (more…)

3130; Hata usipofanya, bado yatatokea.

By | July 27, 2023

3130; Hata usipofanya, bado yatatokea. Rafiki yangu mpendwa,Sababu nyingi tunazojipa kwa nini tumeshindwa kufanya mambo ya tofauti na makubwa siyo sahihi.Huwa ni visingizio tu vya kujifariji kwa namna ambayo hatutaumia kwa uzembe wetu wenyewe. Hivi karibuni nilikuwa natoa mafunzo ya mauzo kwenye moja ya timu tunazozifundisha.Nilichowafundisha ilikuwa ni dhana ya (more…)

3129; Ni kodi unayotakiwa kulipa.

By | July 26, 2023

3129; Ni kodi unayotakiwa kulipa. Rafiki yangu mpendwa,Maisha yetu yamekuwa magumu na yenye changamoto mbalimbali kwa sababu ya matarajio yasiyokuwa sahihi ambayo tunakuwa nayo. Tunataka dunia iende kama tunavyotaka sisi wenyewe, wakati dunia haijui hata kama tupo hai.Dunia huwa inajiendesha kwa kanuni zake za asili, bila ya kujali nini sisi (more…)

3128; Kazi na muda.

By | July 25, 2023

3128; Kazi na muda. Rafiki yangu mpendwa,Kuna vitu ambavyo huwa havijali kabisa kuhusu wewe na unafanya nini.Vitu hivyo huwa vinataka mtu kuvichukulia hatua mara moja kama anataka kunufaika navyo.Na kama mtu hatakuwa tayari kuchukua hatua kwenye vitu hivyo, haviwezi kumsubiri, bali vinasonga mbele. Vitu vyenye sifa hizo ni vingi, lakini (more…)