Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

3127; Nilikuwa nakufikiria.

By | July 24, 2023

3127; Nilikuwa nakufikiria. Rafiki yangu mpendwa,Pata picha umempigia mtu simu na akaanza kwa kukuambia bora umempigia maana alikuwa anakufikiria, utajisikiaje?Halafu pia pata picha mtu amekupigia simu na kuanza kwa kukuambia alikuwa anakufikiria, utajisikiaje? Katika hali zote, utajisikia vizuri, kwamba mtu amekuwa anakufikiria, maana yake wewe ni wa muhimu kwake.Lakini kwenye (more…)

3126; Usichezee ‘matirio’

By | July 23, 2023

3126; Usichezee ‘matirio’ Rafiki yangu mpendwa,Hebu pata picha mtu amenunua basi lenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 30, lakini anaamua kulitumia kama usafiri binafsi.Kwa hakika utashangazwa na jinsi rasilimali hiyo itakavyokuwa imetumika vibaya. Au mtu ananunua kompyuta yenye uwezo mkubwa wa kurahisisha majukumu mengi, ila mtu anaamua kuitumia kusikiliza (more…)

3125; Tengeneza bahati yako mwenyewe.

By | July 22, 2023

3125; Tengeneza bahati yako mwenyewe. Rafiki yangu mpendwa,Umewahi kukutana na mtu ambaye amepata mafanikio makubwa ambayo kwa uwezo wake siyo kitu cha kutegemewa?Jibu litakuwa ni ndiyo na huwa tunapokutana na watu wa aina hii, moja kwa moja tunajiambia wana bahati. Au hata huenda ni wewe mwenyewe, kuna hatua ambazo umepiga (more…)

Barua ya XII; Kuhusu uzee.

By | July 21, 2023

Barua ya XII; Kuhusu uzee. Rafiki yangu Mstoa,Wote tunajua mwenendo wa maisha yetu hapa duniani.Tunazaliwa, kukua, kuzeeka na kufa. Katika kukua tunapitia utoto, ujana, utu uzima na hatimaye uzee.Japo siyo lazima mtu apite hatua zote, wapo wanaokufa utotoni, wengine ujanani, wengine wakiwa watu wazina na wengine uzeeni. Katika hatua hizo (more…)

3124; 1, 10, 100, 1,000 na kuendelea.

By | July 21, 2023

3124; 1, 10, 100, 1,000 na kuendelea. Rafiki yangu mpendwa,Mafanikio yoyote unayoyataka kwenye maisha yako, ni muhimu ukawa na namba za kuyapima.Hiyo ni kwa sababu kitu chochote kile ambacho hakipimwi, hakiwezi kuboreshwa wala kukuzwa. Pamoja na umuhimu huo mkubwa wa namba na kupima, bado watu wengi sana hawana namba wanazojipima (more…)

3123; Chini ya kumi ni sifuri.

By | July 20, 2023

3123; Chini ya kumi ni sifuri. Rafiki yangu mpendwa,Maisha yetu hapa duniani huwa yanaendeshwa kwa kanuni nyingi sana za asili.Ni kwa kufuata kanuni hizo ndiyo tunapata yale tunayoyataka kwenye maisha yetu. Moja ya kanuni muhimu sana kwenye safari ya mafanikio ni kanuni ya wastani.Kanuni hiyo inaeleza kwamba kuna wastani wa (more…)

3122; Kukosa tatizo ni tatizo.

By | July 19, 2023

3122; Kukosa tatizo ni tatizo. Rafiki yangu mpendwa,Kuna watu huwa wanajipa matumaini hewa na ambayo yamekuwa kikwazo kikubwa kwenye maisha yao. Moja ya matumaini hewa ambayo yamewapoteza wengi ni kusubiri mpaka matatizo waliyonayo yaishe ndiyo waweze kufanya yale wanayotaka kufanya. Wanachokuja kugundua ni kwamba pale tatizo moja linapotatuliwa, matatizo mengine (more…)

3121; Nioge au nisioge?

By | July 18, 2023

3121; Nioge au nisioge? Rafiki yangu mpendwa,Kuna vitu ambavyo huwa unavifanya kwenye maisha yako bila ya kuwa na mjadala kama uvifanye au la. Fikiria kuoga, ukifika wakati wa kufanya hivyo huwa hujiulizi iwapo uoge au usioge, huwa unaoga.Kadhalika kupiga mswaki, haina mjadala, unapofika wakati wa kufanya hivyo, unafanya.Hivyo pia ndivyo (more…)

3120; Omba unapojua utakataliwa.

By | July 17, 2023

3120; Omba unapojua utakataliwa. Rafiki yangu mpendwa,Hofu imekuwa inawazuia sana watu wengi kuchukua hatua kubwa kwenye maisha yao.Hizo ni hatua ambazo mtu anapaswa kuchukua ili kuweza kupata kile anachotaka. Moja ya hofu ambazo zimewazuia watu wengi ni hofu ya kukataliwa.Watu wanahofia kuomba kitu wanachokitaka kwa watu, kwa sababu wanajua kwenye (more…)

3119; Watu, matatizo, biashara, fedha.

By | July 16, 2023

3119; Watu, matatizo, biashara, fedha. Rafiki yangu mpendwa,Hii dunia ina watu,Watu hao wana matatizo mbalimbali. Biashara zenye mafanikio huwa zinajengwa kwenye msingi wa kutatua matatizo ambayo watu wanayo.Na fedha nyingi inaweza kutengenezwa kupitia biashara inayotatua matatizo ya watu. Hayo maelezo hapo juu yamebeba kila kitu ambacho mtu anapaswa kukijua ili (more…)