Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

2891; Chipsi Mayai.

By | November 30, 2022

2891; Chipsi Mayai. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unashangazwa na mvurugano unaojitokeza wakati wa mabadiliko. Mabadiliko yoyote yale huwa yanaambatana na hali ya mvurugano. Hakuna mabadiliko yenye utulivu. Mabadiliko ni sawa na kuandaa chipsi mayai, lazima uyavunje mayai. Kuyavunja mayai inaweza kuonekana kama ni kutaharibu, lakini chipsi zinapokuwa tayari, hilo (more…)

2890; Wanadhani wana akili kuliko wewe.

By | November 29, 2022

2890; Wanadhani wana akili kuliko wewe. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye wafanyakazi wako wanakataa viwango vipya unavyoanzisha. Una kiu kubwa ya kujenga na kukuza biashara yako. Unataka kujenga mfumo wa biashara, uwe na timu bora na ufanye mauzo makubwa. Unaingia gharama ya kupata maarifa na mafunzo sahihi ya kukamilisha hilo. (more…)

2889; Tunaanza na matokeo, kisha njia.

By | November 28, 2022

2889; Tunaanza na matokeo, kisha njia. Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unapata wakati mgumu kuwashawishi watu watumie njia mpya ambayo ni bora kuliko ya nyuma. Watu huwa wanapenda kufuata mazoea yao, hata kama kuna namna mpya inayoleta matokeo bora zaidi. Watu huwa ni wabishi na wagumu sana kubadilika, wanapenda uhakika (more…)

2888; Angalia Marupurupu.

By | November 27, 2022

2888; Angalia Marupurupu. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeendelea kushangazwa na jinsi watu wanavyoamua kufanya au kutokufanya mambo fulani. Moja ya sifa kuu kwetu binadamu ni ubinafsi. Huwa tunaweka maslahi yetu mbele kabla ya wengine. Unapoona watu wanafanya au kutokufanya kitu fulani, jua wazi kwamba kuna maslahi fulani ya mtu yako (more…)

2887; Wametoa wapi huo ujasiri?

By | November 26, 2022

2887; Wametoa wapi huo ujasiri? Kwako rafiki yangu mpendwa ambaye unashangazwa na yale ambayo watu wanafanya, ambayo ni tofauti kabisa na makubaliano yenu. Watu huwa hawafanyi kitu kama hawana uhakika. Hiyo ni tabia yetu binadamu, kutaka uhakika kabla hatujafanya kitu. Unapoona watu wamefanya kitu fulani, juna kuna uhakika fulani walio (more…)

2886; Ameona wapi?

By | November 25, 2022

2886; Ameona wapi? Kwako rafiki yangu unayeshangazwa na yale ambayo watu wanayafanya, hasa ambao ulitegemea wafanye namna fulani. Kama una mtoto mdogo nyumbani, halafu siku moja ukasikia anatukana, unajua wazi kwamba kuna mahali mtoto huyo amesikia tusi hilo na kujifunza. Unajua kabisa haijatokea tu, kuna mahali ameona au kusikia na (more…)

2885; Viwango.

By | November 24, 2022

2885; Viwango. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeshangazwa na jinsi ambavyo watu wanakuangusha. Unakubaliana na watu wafanye kitu fulani, ila wanachofanya kinakuwa tofauti kabisa na mlivyokubaliana. Hali hiyo inaweza kukufanya upoteze imani na watu, uone haina haja ya kuwategemea watu, bora ufanye kila kitu peke yako. Lakini unajua wazi ya kwamba (more…)

2884; Usiuze, Sikiliza.

By | November 23, 2022

2884; Usiuze, Sikiliza. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeona mauzo ni magumu na wateja hawataki unachouza. Utakwama kwenye mauzo kama unachofanya ni kuwalazimisha wateja kununua. Hata kama ni kitu ambacho tayari wanakihitaji, kitendo cha wewe kuwalazimisha wanunue inawafanya wawe na wasiwasi ambao unawafanya wasiwe tayari kununua. Ukijikuta inabidi uwalazimishe au hata (more…)

2883; Nadra, Mara kwa mara, Kawaida.

By | November 22, 2022

2883; Nadra, Mara kwa mara, Kawaida. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeshangazwa na jinsi mambo yanavyobadilika kwenye masha yako. Mambo huwa yanaanza yakiwa nadra, baadaye yanakuwa mara kwa mara na hatimaye kawaida. Nadra ni pale ambapo mambo yanakuwa hayatokei kabisa. Yanapoanza kutokea mara chache, inashangaza mwanzoni, lakini yakiendelea kutokea yanazoeleka. Kadiri (more…)

2882; Hawaoni unachoona.

By | November 21, 2022

2882; Hawaoni unachoona. Kwako rafiki yangu mpendwa unayeshangazwa na jinsi watu wanavyoshindwa kufanya yale unayotegemea wayafanye. Unaweza kuwa umewaeleza kabisa nini wanapaswa kufanya na wanapaswa kukifanyaje. Lakini wanapokwenda kufanya, wanafanya tofauti kabisa na unavyotegemea wafanye. Unaweza kushangazwa sana na hilo na hata kukosa imani na watu. Lakini kitu kimoja unachopaswa (more…)