2260; Kutaka Fedha Kusikupe Upofu…
Uliwahi kufanyika utafiti kwa wale wanaofanya utapeli. Utafiti huo ulitaka kujua iwapo watu wanaofanya hivyo hawasutwi nafsi zao kwa kuwaibia na kuwatapeli wengine. Mmoja wa watu waliohojiwa kwenye utafiti huo alitoa jibu ambalo liliwafanya watafiti wapate mtazamo ambao hawakuwa nao awali. Mtu huyo aliwaambia ni kweli tabia ya utapeli inamuumiza (more…)
