Category Archives: KURASA ZA MAISHA

Kila siku mpya kwenye maisha yako ni sawa na ukurasa mpya wa kitabu.
Kwa kila siku mpya unachagua ufanye nini na maisha yako.
Kupitia makala hizi za KURASA ZA MAISHA, utajifunza mambo muhimu ya kufanya ili uwe namaisha bora zaidi.
Makala hizi za kurasa zinakujia kila siku.

2712; Utakuja kushangazwa na matokeo.

By | June 4, 2022

2712; Utakuja kushangazwa na matokeo. Kitu kinachowakwamisha wengi kwenye kuendelea kuchukua hatua ni kutokuyaona matokeo haraka. Mtu anataka kupunguza uzito, anahamasika kufanya mazoezi. Anaanza mazoezi kwa siku chache, ila kila akipima uzito uko pale pale. Anajiambia haya mazoezi hayafanyi kazi na kuamua kuachana nayo. Mtu anataka kuongeza mauzo kwenye biashara (more…)

2711; Unachohofia kufanya.

By | June 3, 2022

2711; Unachohofia kufanya. Kile unachohofia kufanya, Ndiyo hasa unachopaswa kukifanya. Hofu haimaanishi kitu hakiwezekani, Bali inamaanisha ni kitu ambacho hujawahi au hujazoea kufanya. Sasa najua, Ya kuwa unakumbuka, Nje ya mazoea yako, Ndipo penye mafanikio makubwa unayoyataka. Hivyo basi, Kile unachohofia kufanya, Ndiyo unapaswa hasa kufanya, Kwa kuwa kinakutoa nje (more…)

2710; Rahisi kupatikana.

By | June 2, 2022

2710; Rahisi kupatikana. Chochote ambacho ni rahisi kupatikana huwa siyo chenye thamani kubwa na unachohitaji ili kufika kule unakotaka. Hili ni jambo la msingi kabisa ambalo wengi huwa hawalielewi na kuishia kuwa kikwazo kwao kufanikiwa. Vitu vyenye thamani kubwa kwenye maisha huwa ni vigumu kupatikana na hilo ndiyo linapelekea wengi (more…)

2709; Uvivu na uzembe.

By | June 1, 2022

2709; Uvivu na uzembe. Hawa ni maadui wakubwa wawili ambao ndiyo kikwazo kinachowazuia wote ambao hawajafanikiwa. Kwa kila ambaye hajafanikiwa, unapochunguza lazima unakuta maadui hao wawili wapo. Uvivu ni pale mtu unapojua nini unachopaswa kukifanya, ila hukifanyi. Unaweza kujipa sababu lukuki kwa nini hufanyi. Lakini ukweli ni kwamba una uvivu. (more…)

2708; Usiombe ruhusa, usiombe samahani.

By | May 31, 2022

2708; Usiombe ruhusa, usiombe samahani. Kitu kikubwa kuhusu maisha ya mafanikio ni huwezi kuw kama watu wengine. Huwezi kuishi maisha ambayo wengine wanayaishi na kutegemea upate mafanikio makubwa kabisa. Ni lazima maisha yako yawe ya tofauti kabisa na maisha ya wengine. Na njia moja ya kuonyesha tofauti hiyo ni kutokuomba (more…)

2707; Mtu wa ajabu.

By | May 30, 2022

2707; Mtu wa ajabu. Jamii huwa inapenda kumwelewa kila mtu kwenye yale anayoyafanya. Pale jamii inaposhindwa kumwelewa mtu, huwa inamchukulia ni mtu wa ajabu kabisa. Inamwona ni mtu asiyefaa au aliyepotoka na ambaye hawezi kufanikiwa. Anapopitia magumu ambayo kila mtu anayapitia, yeye ataonekana anayapitia hayo kwa sababu ya utofauti wake. (more…)

2706; Kupanga na kufanya.

By | May 29, 2022

2706; Kupanga na kufanya. Kwa ujumla, mchakato mzima wa mafanikio unategemea sana kwenye kupanga na kufanya. Ni kitu rahisi lakini chenye nguvu kubwa sana ya kuamua mtu afanikiwe au ashindwe. Watu wengi huwa wanapanga lakini hawafanyi. Kupanga ni rahisi, kufanya siyo. Hivyo watu wana mipango mingi, lakini hawaitekelezi. Watu wengine (more…)

2705; Imani na matendo.

By | May 28, 2022

2705; Imani na matendo. Imani na matendo ni vitu vinavyokwenda pamoja. Ni mapacha ambao hawawezi kutenganishwa. Ili uweze kufanya makubwa zaidi kwenye maisha yako, ni vitu viwili unavyohitaji kwa pamoja. Imani bila matendo ni mfu, hakuna chochote kitakachotokea kwa kuamini tu. Lazima mtu uchukue hatua kwenye kile unachoamini. Matendo bila (more…)

2704; Huhitaji kuomba ruhusa.

By | May 27, 2022

2704; Huhitaji kuomba ruhusa. Sehemu kubwa ya malezi ambayo tumepitia ni kikwazo kikubwa sana kwenye safari yetu ya mafanikio. Tumejengewa sana nidhamu ya woga kiasi cha kukosa uthubutu wa kufanya yale ambayo tunapaswa kufanya ili tufanikiwe. Na eneo kubwa na lenye madhara makubwa ni kwenye kuomba ruhusa. Tangu tukiwa watoto, (more…)