2460; Lazima kuna mtu ataumia.
2460; Lazima kuna mtu ataumia. Kwenye moja ya vitabu ambavyo nimekuwa narudia kusikiliza mara kwa mara, How To Be A Billionaire, mwandishi anasema ukifanikiwa kutengeneza utajiri wa mabilioni, utakuwa pia umefanikiwa kutengeneza maadui wakubwa. Kwa kifupi ni hakuna namna utaweza kufanikiwa bila ya kuwaumiza baadhi ya watu kwa namna fulani, (more…)
