SheriaYaLeo (43/366); Rudia rudia kufanya.
SheriaYaLeo (43/366); Rudia rudia kufanya. Mfumo wa elimu unafundisha vitu kwa nadharia, kwa mwanafunzi kusoma na kufanya mitihani. Katika kipindi chote cha elimu mwanafunzi anajifunza kwa kupewa maarifa na taarifa tu. Haishangazi kwa nini mwanafunzi anapohitimu masomo na kwenda kwenye dunia halisi anajikuta hakuna anachoweza kufanya. Anaweza kuwa na vyeti (more…)
