2618; Unayapenda mafanikio, ila hayakupendi.
2618; Unayapenda mafanikio, ila hayakupendi. Wakati naanza huduma hii ya mafunzo, ushauri na ukocha wa mafanikio, nilikuwa naamini kila mtu anawesa kufanikiwa. Kwamba mtu akishakuwa tu na nia ya kufanikiwa, akapata maarifa na miongozo sahihi, basi hakuna namna atashindwa kufanikiwa. Kadiri ninavyoendelea kufanya kazi kwa ukaribu kabisa na walio wengi, (more…)
