#SheriaYaLeo (80/366); Ubongo wa mbobezi.
Wakati wa kujifunza na kufanya kitu kipya, mishipa mingi ya fahamu huwa inazaliwa kwenye ubongo wa mbele. Mishipa hiyo ndiyo inayotuwezesha sisi binadamu kujifunza na kufanya mambo mapya. Wakati huo wa kujifunza ubongo huwa na kazi nyingi, huwa katika hali ya msongo. Lakini kitu kikisharudiwa rudiwa kwa muda mrefu, kinakuwa (more…)
