UKURASA WA 696; Watu Wana Matatizo Yao, Hawataki Kusikia Yako….

By | November 26, 2016
Kuna tabia moja ambayo watu wengi wanayo, tabia hiyo ni kutaka kuonewa huruma kutokana na matatizo na changamoto ambazo wanapitia. Unakuta mtu ameshindwa kukamilisha kitu ambacho alipaswa kukamilisha, lakini anataka watu wamwonee huruma kwa sababu ya changamoto zake. Unakuta mtu ni mfanyabiashara, ameshindwa kutimiza mahitaji ya mteja wake au kutimiza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz