UKURASA WA 74; SAMEHE…

By | March 15, 2015
Labda tuseme kuna mtu amekuudhi sana kwenye maisha yako, amekufanyia jambo baya sana kiasi kwamba maisha yako yameharibika sana, una haki ya kumchukia, si ndio? Labda tuseme mtu huyu alifanya jambo ambalo lilikupa hasara kubwa sana kwenye maisha. Au kuharibu maisha yako sana. Au hata kujaribu kuondoa uhai wako, ila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In