BIASHARA LEO; Huduma Bora Unazohitaji Kutoa Kwa Wateja Wako.

By | March 9, 2016
Kama ambavyo tumekuwa tunajifunza mara kwa mara, kuna eneo moja muhimu sana unaloweza kulitumia vizuri sana kwenye ushindani wa biashara. Japo sijuambii ushindane, ila unapokuwa vizuri kwenye eneo hili hata wale wanaofanya biashara sawa na yako watakuona kwa mbali tu. Eneo hili ni kutoa huduma bora sana kwa wateja wako.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz