BIASHARA LEO; Sababu Ya Mteja Wako Kwenda Kwa Mshindani Wako.

By | March 16, 2016
Njia bora sana ya kuifikiria biashara yako, ni wewe mmiliki wa biashara kuvaa viatu vya mteja wako. Hebu fikiria kama wewe ndiyo ungekuwa mteja wa biashara hiyo unayoifanya wewe, je ungeendelea kuwa mteja wa biashara hiyo? Na unapofanya hivi usijaribu kujidanganya, ondoa hisia za kujipendelea na fikiri kwa kina. Kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz